Back to home
Ruto aahidi kukamilisha miradi ya maendeleo Ukambani, awakosoa wanasiasa wa upinzani
video
C
Citizen TV (Youtube)October 20, 2025
3h ago
Rais William Ruto alitumia sikukuu ya mashujaa kutoa ahadi za kumaliza miradi ya maendeleo maeneo ya ukambani, akiahidi ujenzi wa barabara, mabwawa na kuimarisha kilimo. Akiwahutubia maelfu ya wakaazi wa eneo hili, rais aliwakosoa wanasiasa wa upinzani kwa kukosa mpango na kuende