Back to home
LSK yaongoza shinikizo kwa serikali ya Uganda kuwaachilia Wakenya wanaozuiliwa nchini humo
video
C
Citizen TV (Youtube)October 21, 2025
1d ago
Shinikizo zimeendelea kutaka kuachiliwa kwa wakenya wawili wanaozuiliwa nchini Uganda huku mashirika ya haki ya humu nchini yakianzisha kampeni kumtaka Rais Yoweri Museveni wa Uganda kuwaachilia. Chama cha mawakili nchini LSK kikiongoza kampeni hii inayotaka shinikizo zaidi dhidi