Back to home

Serikali yaanza mchakato wa kumleta mshukiwa nchini aliyehusishwa na mauaji ya Agnes Wanjiru

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 22, 2025
13h ago
Serikali imeanza rasmi shughuli ya kumleta nchini raia wa Uingereza aliyehusishwa na mauaji ya Agnes Wanjiru, Nanyuki mwaka wa 2012. Mkurugenzi wa mashtaka ya Umma nchini Renson Ingonga tayari amewasilisha ombi la kumleta nchini mshukiwa huyo kutoka Uingereza kupitia afisi ya mku