Back to home

Hali ya wasiwasi yakumba wakazi wa shamba la Kedong baada ya tangazo la kuuzwa kwa shamba hilo

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 22, 2025
10h ago
Hali ya wasi wasi imetanda katika shamba la Kedong lililoko kaunti ya Nakuru baada ya watu wasiojulikana kuweka makasha yenye maandishi ya kutangaza kuuzwa kwa shamba hilo ambalo limekumbwa na mzozo wa muda mrefu. Wakazi wanaoishi kwenye ardhi hiyo kutoka jamii ya Maasai wanasema