Back to home
Washukiwa wanne wa wizi wa mabavu, akiwemo afisa wa zamani wa polisi, wakamatwa Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)October 22, 2025
4h ago
Maafisa wa upelelezi hapa Nairobi wamewakamata washukiwa wanne wa wizi wa mabavu na utekaji nyara ambao wamekuwa wakitafutwa kwa miezi mitatu. Maafisa wa kituo cha polisi cha Kilimani na Kasarani wakiwakamata washukiwa hawa wakijumuisha maafisa wa zamani wa polisi.