Back to home
Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Masinde Muliro afariki akiwa kwenye zoezi la usajili wa makurutu
video
C
Citizen TV (Youtube)October 23, 2025
1d ago
Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 22 na ambaye ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Masinde Muliro huko Kakamega ameaga dunia akiwa kwenye zoezi la usajili wa makurutu wa kujiunga na kikosi cha jeshi katika eneo la Chwele kaunti Ndogo ya Kabuchai.


