Back to home
Wakulima wasahuriwa kutumia mbegu za asili katika kaunti ya Busia
video
C
Citizen TV (Youtube)October 23, 2025
6d ago
Wakulima katika kaunti ya Busia wamehimizwa kukumbatia matumizi ya mbegu za kiasili na samadi isiyokuwa na kemikali ili kuzalisha vyakula bora.Wakulima hao wa mpakani ambao huuza bidhaa zao katika mataifa jirani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wametakiwa kuhakikisha kuwa bidhaa za





