Back to home

Marubani wasimulia safari ya kuuleta mwili wa hayati Raila Odinga Nairobi

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 24, 2025
12h ago
Safari ya kurejesha nyumbani mwili wa waziri mkuu wa zamani marehemu Raila Odinga ilikuwa ya kihistoria. Marubani na wahudumu wa ndege wakisimulia hisia zao kabla ya safari hiyo kuanza na hatimaye kukamilika kwa safari hiyo katika uwanja wa ndege wa JKIA. Brenda wanga na simulizi