Back to home

Manahodha wa timu ya olimpiki ya wasiosikia waelezea imani ya Kenya kuandikisha matokeo bora Tokyo

video
N
NTV Kenya (Youtube)
October 24, 2025
15h ago
Manahodha wa timu ya taifa ya olimpiki ya wasiosikia Isaac Atima na Linet Nanjala, wameelezea imani ya Kenya kuandikisha matokeo bora katika makala ya mwaka huu yatakayofanyika jijini Tokyo Japan kuanzia Novemba tarehe 15 hadi 26. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest K