Back to home

Familia za watu 6 waliofariki zaomboleza

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 25, 2025
11h ago
Familia za watu sita waliofariki kwenye ajali ya barabarani Jumamosi asubuhi katika eneo la Soysambu, Gilgil, kaunti ya Nakuru, zimeanza kutambua miili ya wapendwa wao katika makafani ya hospitali ya Gilgil. Sita hao walikuwa wakielekea nairobi kutoka kisumu walikokuwa wamehudhur