Back to home

Vijana zaidi ya laki moja unusu kupewa KSH. 50,000 kutoka mradi wa NYOTA

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 25, 2025
10h ago
Shughuli ya kuwachagua vijana zaidi ya laki moja unusu watakaopewa shilingi elfu hamsini za kuanzisha biashara ndogo chini ya hazina ya nyota itaendelezwa katika kaunti ya Taita Taveta Jumatatu wiki ijayo huku zoezi hilo likikamilika katika kaunti zingine 46.