Back to home
Serikali imetakiwa kutii makubaliano kati ya Knut na TSC yaliyopendekezwa mbele ya Ruto
video
N
NTV Kenya (Youtube)October 25, 2025
13h ago
Serikali imetakiwa kutii makubaliano kati ya Muungano wa Kutetea Masilahi ya walimu (KNUT) na Tume ya kutoa huduma kwa walimu Nchini (TSC) yaliyopendekezwa mbele ya Rais William Ruto katika ikulu ya Nairobi kwenye mkutano na walimu miezi michache iliyopita.
Subscribe and watch N




