Back to home

Kupungua kwa samaki Ziwa Victoria kumezua migogoro na kubadili majukumu ya kijamii

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 26, 2025
3h ago
Kupungua kwa idadi ya samaki katika Ziwa Victoria kumesababisha migogoro sio tu baina ya wavuvi bali pia kati ya asasi za usalama kutoka nchi jirani. Hali hii sasa ikisababisha kina mama pia kujitosa katika uvuvi, jambo ambalo linakisiwa kuwa kinyume na itikadi za jamii ya Dholuo