Back to home
Harambee Starlets wajitayarisha kuvaana na Gambia kwenye mechi ya mkondo wa pili Senegal
video
C
Citizen TV (Youtube)October 27, 2025
8h ago
Timu ya taifa ya soka ya wasichana Harambee Starlets leo ilifanya mazoezi mepesi kujitayarisha kuchuana na the Gambia hapo kesho kwenye mechi ya mkondo wa pili ya duru ya mwisho itakayochezwa nchini Senegal




