Back to home

Watu watano wafariki kwenye visa tofauti vya mauaji Machakos na Nakuru

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 27, 2025
4h ago
Watu watano wamefariki kwenye visa tofauti vilivyotokea kaunti ya Machakos na Nakuru. Kwenye kisa cha Machakos, mwanamume mmoja aliyemuua rafikiye wa kike kwa kumkata panga alipigwa na umati hadi kufa huku mjini Naivasha, familia ikiomboleza tukio ambapo baba mmoja aliwaua wanawe