Back to home
Shirika laanzisha mbio za baiskeli kuwachangia walemavu
video
C
Citizen TV (Youtube)October 29, 2025
12h ago
Kama njia moja ya kupiga jeki elimu ya watoto wenye ulemavu katika Kaunti ya Turkana, wakfu wa ACTS umeanzisha mbio za baiskeli za kilomita elfu moja na mia nne kutoka Lodwar Turkana Hadi mombasa ili kuchangisha pesa.




