Back to home

Wakazi wa Kambiti na Maranjau walalamikia ubovu wa barabara

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 29, 2025
12h ago
Wakazi wa Kambiti na Maranjau katika Eneo bunge la Maragua, Kaunti ya Murang'a, wameelezea ghadhabu yao kufuatia hali mbaya ya barabara inayounganisha maeneo hayo, wakisema wameachwa nyuma kimaendeleo kutokana na miundombinu duni.