Back to home

Raia wa Uholanzi kufukuzwa nchini kwa kumdhalilisha afisa wa polisi Diani

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 29, 2025
3h ago
Raia wa Uholanzi aliyeonekana kwenye video akimtusi na kumdhalilisha Afisa wa Polisi katika Kituo cha Polisi cha Diani, sasa atafukuzwa nchini kutokana na utovu wa nidhamu na kukiuka sheria za nchi. Kamanda wa Polisi wa eneo la Msambweni, Robinson Lang’at, amewaonya raia wa kig