Back to home

Polisi watumia nguvu kufungua barabara ya Kisumu-Busia baada ya wakaazi kufunga barabara

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 30, 2025
7h ago
Polisi walilazimika kutumia nguvu kuifungua barabara ya Kisumu–Busia eneo la Buyangu, kaunti ya Vihiga, baada ya wakaazi wa Emuhaya kuifunga kwa saa kadhaa wakilalamikia kuongezeka kwa visa vya ukosefu wa usalama.