Back to home
Waziri wa afya Aden Duale atetea sheria ya kudhibiti uhalifu wa mtandao
video
C
Citizen TV (Youtube)October 31, 2025
7h ago
Waziri wa afya Aden Duale ameongeza sauti yake kwenye sheria ya kudhibiti uhalifu wa mtandao akisema itazuia hasa watoto kupata picha za kupotosha maadili au kujifunza kutumia dawa za kulevya. Duale aliyasema hayo wakati wa maadhimisho ya miaka 100 ya Msikiti wa Jamia na kubadili




