Back to home

Wakazi wengi wangali masikini licha ya kuwepo madini W.Pokot

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 3, 2025
6h ago
Licha ya kuwa na utajiri mkubwa wa madini, wakazi wengi wa Kaunti ya West Pokot bado wanaishi katika umasikini mkubwa. Hali ya kusikitisha ambayo wakazi wanaieleza kuwa imesababishwa na miaka mingi ya unyonyaji unaofanywa na madalali wenye ushawishi pamoja na ukosefu wa manufaa y