Back to home

Rais Samia Suluhu aapishwa chini ya ulinzi mkali

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 3, 2025
8h ago
Dkt Samia Suluhu Hassan ameapishwa leo chini ya ulinzi mkali katika kambi ya kijeshi jijini dodoma, akianza rasmi muhula wake wa pili wa urais. Rais samia alisema serikali yake itawaaandama waliopanga na kufadhili maandamano yaliyoshuhudiwa wakati na baada ya uchaguzi mkuu. Rais