Back to home
ODM waunga mkono mgombea wa UDA David Ndakwa
video
C
Citizen TV (Youtube)November 4, 2025
5h ago
Msaidizi wa Rais Farouk Kibet , aliwaongoza baadhi ya viongozi wa magharibi kumpigia debe mgombea wa kiti cha ubunge cha Malava kwa tikiti ya UDA, David Ndakwa.




