Back to home
Jumba la kibiashara la Majimbo Kalasinga lavunjwa
video
C
Citizen TV (Youtube)November 4, 2025
4h ago
Mali ya thamani kubwa imeharibiwa baada ya genge la vijana kuvamia jumba moja la burudani linalomilikiwa na mbunge wa Kabuchai Majimbo Kalasinga eneo la Musese, kisa kinachokisiwa kuhusishwa na siasa za uchaguzi mdogo eneo la Chwele Kabuchai.




