Back to home

Wakazi walalamika shughuli ya kusambaza maji imekwama Samburu

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 4, 2025
5h ago
Viongozi katika kaunti ya Samburu pamoja na wakazi wamelalamikia kujikokota Kwa ujenzi wa mabomba ya kusambaza maji kutoka bwawa la Yamo Hadi mjini Maralal. Wakazi katika mji wa Maralal na viunga vyake wamesalia na dhdiki Tele ya kukata KIU ya maji,hii ni licha ya ujenzi wa bwaw