Back to home

Walimu 36 wakamatwa kwa udanganyifu wa KCSE

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 4, 2025
3h ago
Watu 36 wamekamatwa kwenye visa vya udanganyifu wa mitihani ya kitaifa ya KCSE katika sehemu mbalimbali nchini. Miongoni mwa waliokamatwa ni watu waliokuwa wakiwafanyia wanafunzi mitihani katika shule moja hapa Nairobi na nyingine huko Kericho. Baadhi ya wanafunzi pia wakizuiliwa