Back to home
KENHA, NLC na mwana kandarasi wafanya kikao kuzungumzia fidia kwa wakazi 300 Mombasa
video
C
Citizen TV (Youtube)November 6, 2025
2h ago
Mamlaka ya ujenzi wa barabara kuu nchini - KENHA, tume ya ardhi - NLC - na mwana kandarasi wa barabara ya Mombasa hadi Malindi wanatazamiwa kufanya kikao cha kutatua mgogoro wa ulipaji fidia kwa zaidi ya wakazi 300 wanaoishi kando ya barabara hiyo. Baadhi ya wakazi wamekuwa wakip




