Back to home

Mtoto Letishia Ambuyieka aliibiwa Jumamosi wiki jana huko Bungoma

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 6, 2025
1mo ago
Familia Moja kutoka Kijiji cha Mkuyuni eneo Bunge la Bumula kaunti ya Bungoma inahangaika baada ya mwana wao wa wiki mbili kupotea.
Advertisement