Back to home
Malava: IEBC yathibitisha kwamba Edgar Busiega bao yumo kwenye orodha ya wagombea
video
N
NTV Kenya (Youtube)November 6, 2025
4mo ago
Muungano wa upinzani unaoongozwa na aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua umepata pigo baada ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) eneo bunge la Malava kuthibitisha kuwa mgombea wao Edgar Busiega, ambaye chama chake kilitangaza kumwondoa, bado yumo kwenye orodha ya wagomb
Advertisement
Advertisement




