Back to home
Kalonzo Musyoka azuru kaburi la Raila Odinga akirejelea urafiki wao wa karibu
video
C
Citizen TV (Youtube)November 6, 2025
1h ago
Kinara wa Wiper, Kalonzo Musyoka, leo amezuru kaburi la Hayati Raila Odinga katika shamba la Kang'o Ka Jaramogi, Kaunti ya Siaya. Kalonzo akirejelea usuhuba wake wa karibu na marehemu Raila wakiwa wandani wa kisiasa na marafiki wa dhati. Mjane wa Raila Odinga, Ida Odinga, amesema




