Back to home

Odm yalazimisha serikali kutoa fidia haraka kwa familia zilizopoteza wapendwa wao katika maandamano

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 6, 2025
1h ago
Chama cha ODM sasa kinaitaka serikali kuharakisha fidia kwa fimilia zilizowapoteza wapendwa wao wakati wa maandamano nchini. Katika hafla ya kumkumbuka Hayati Raila Odinga iliyoandaliwa eneo bunge la awendo, viongozi wa ODM wamesema kuwa japo kuna kesi iliyowasilishwa mahakamani