Back to home

Ukosefu wa maji wakumba kaunti za Kilifi na Mombasa

video
N
NTV Kenya (Youtube)
November 7, 2025
4h ago
Serikali kuu imechukua hatua za haraka kutatua tatizo la ukosefu wa maji katika kaunti za Kilifi na Mombasa, kufuatia malalamiko kutoka kwa wakazi na wawekezaji wa sekta ya utalii. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans.