Back to home
Amani Goligwa akamatwa! Msako wa viongozi wa CHADEMA waendelea Tanzania
video
C
Citizen TV (Youtube)November 8, 2025
2h ago
Naibu katibu mkuu wa chama cha CHADEMA alikamatwa hii leo huku polisi nchini Tanzania wakiendelea na msako wa wale wanaodaiwa kuhusika wa machafuko ya wiki jana. Amani Goligwa ndiye kiongozi wa tatu wa chama hicho cha upinzani kukamatwa huku polisi wakichapisha majina kumi zaidi




