Back to home
Waliojeruhiwa Kasarani waomba msaada wa serikali kulipa gharama za hospitali na fidia
video
C
Citizen TV (Youtube)November 8, 2025
2h ago
Baadhi ya waliojeruhiwa wakati wa maombolezi ya hayati Raila Odinga uwanjani Kasarani wanaiomba serikali kuwasaidia kulipa gharama ya hospitali na fidia kwa waliwaopoteza wapendwa wao. Vivian Susan Mahebo alipigwa risasi mbili huko Kasarani na tangu siku hiyo maisha yake yamekuwa





