Back to home

Wakazi wa Kapomboi wakabiliwa na hatari ya magonjwa baada ya mafuriko kuzamisha makazi yao

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 9, 2025
2h ago
Mamia ya watu walioathirika na mafuriko katika eneo la Kapomboi kaunti ya Trans Nzoia sasa wanakabiliwa na hatari ya lipuko wa magonjwa. Wakazi hao wamelazimika kuishi kwenye nyumba zilizojaa maji taka na matope kwa kukosa eneo mbadala la kuhamia baada ya nyumba zao kufurika