Back to home
Rais Samia Suluhu atoa wito wa mazungumzo na upinzani kufuatia machafuko ya uchaguzi Tanzania
video
C
Citizen TV (Youtube)November 9, 2025
2h ago
Haya yakijiri, Rais Samia Suluhu wa Tanzania sasa ametaka mazungumzo na upinzani wa taifa hilo baada ya uchaguzi uliokumbwa na utata na ghasia. Wito huu ukitoewa siku moja baada ya kukamatwa kwa katibu mkuu wa chama cha upinzani cha CHADEMA Amani Golugwa kwenye msako wa kuwatafut





