Back to home

Mwalimu mkuu aliyekuwa amepotea apatikana mtoni ameaga dunia

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 10, 2025
3h ago
Walimu chini ya muungano wa KUPPET eneo la Magharibi wametishia kusitisha usimamizi wa mtihani wa KCSE, wakilaumu maafisa wa DCI kwa kuchelewa kuchunguza kifo cha mwalimu mwenzao eneo bunge la Lugari. Mwalimu huyu mkuu wa shule ya Munyuki PAG, Simon Isiaho, alipatikana ameuawa na