Back to home

Serikali ya Tanzania yataka mazungumzo na upinzani nchini humo

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 10, 2025
2h ago
Rais Samia Suluhu wa Tanzania sasa ametaka mazungumzo na upinzani wa taifa hilo baada ya uchaguzi uliokumbwa na utata na ghasia. Wito huu ukitoewa siku moja baada ya kukamatwa kwa katibu mkuu wa chama cha upinzani cha CHADEMA Amani Golugwa kwenye msako wa kuwatafuta washukiwa wa