Back to home
Mama ajifungua watoto wanne aowapa majina ya Raila na Ida Kisii
video
C
Citizen TV (Youtube)November 10, 2025
2h ago
Na ilikuwa shangwe katika hospitali ya Nyanchwa mjini Kisii baada ya mama mmoja kujifungua watoto wanne kwa mpigo. Watoto hawa wakipewa majina yote ya waziri mkuu wa zamani Raila Odinga, ikimaanisha kuwa watoto hawa wanne wana majina matatu ya RAILA, AMOLO, ODINGA NA wa kike aki





