Back to home
Baadhi ya familia zinawasaka wapendwa wao waliofariki kwenye maporomoko ya ardhi
video
C
Citizen TV (Youtube)November 11, 2025
2h ago
Hali ya majonzi bado inawagubika wakazi wa Chesongoch, kaunti ya Elgeyo Marakwet ambao hadi sasa hawajawapata wapendwa wao waliofunikwa na udongo pamoja na mawe kwenye maporomoko ya ardhi wiki moja iliyopita.





