Back to home

Mwili mmoja zaidi ulipatikana eneo la Chesongoch kaunti ya Elgeyo Marakwet

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 12, 2025
2h ago
Mwili mmoja zaidi ulipatikana katika eneo la Chesongoch kaunti ya Elgeyo Marakwet, wiki moja baada ya mkasa uliosababisha vifo vya watu thelathini na nane. Licha ya serikali kuu kuahidi kuwashugulikia waathiriwa, juhudi za kuwatafuta watu kumi sasa inafanywa na wakaazi wenyewe. N