Back to home
Wanaharakati wasimulia kuteswa kwa siku 38 walipozuiliwa na jeshi Uganda
video
C
Citizen TV (Youtube)November 12, 2025
1h ago
Wanaharakati Bob Njagi na Nicholas Oyoo wamesimulia namna walivyoteswa na kudhulumiwa katika siku 38 walizozuiliwa nchini Uganda. Wawili hao wakielezea namna hofu ya kuwa huenda wangewachochea vijana kufanya maandamano kupinga serikali ya Uganda yalizima safari yao mjini Kampala.





