Back to home
Serikali yalenga kutowatoza vijana ushuru wa biashara
video
C
Citizen TV (Youtube)November 17, 2025
3mo ago
Serikali kuu inapania kuanzisha likizo ya kodi kwa vijana wanaoanzisha biashara, hatua inayolenga kupunguza vikwazo vya kisheria na kuchochea ukuaji wa uchumi.
Advertisement
Advertisement



