Back to home

Serikali yalenga kutowatoza vijana ushuru wa biashara

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 17, 2025
3mo ago
Serikali kuu inapania kuanzisha likizo ya kodi kwa vijana wanaoanzisha biashara, hatua inayolenga kupunguza vikwazo vya kisheria na kuchochea ukuaji wa uchumi.
Advertisement