Back to home
Wakaazi waonywa dhidi ya kuhusika na ghasia uchaguzini Bungoma
video
C
Citizen TV (Youtube)November 19, 2025
5h ago
Huku uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027 ukiendelea kubisha hodi, visa vya vurugu vinaendelea kushuhudiwa kaunti ya Bungoma, Maafisa wa polisi wakitakiwa kuwajibikia majukumu yao ipasavyo.





