Back to home
Jamii za Samburu, Turkana na Pokot zamaliza uhasama wao wa kuibiana mifugo mpakani
video
C
Citizen TV (Youtube)November 19, 2025
2h ago
Jamii za Pokot, Turkana na Samburu zinazoishi mpakani mwa Kaunti ya Samburu na Laikipia zimezika uhasama baina Yao na kufungua kurasa mpya ya kuishi Kwa Amani. Jamii hizo zimekuwa zikihusika kwenye uhasama wa Kila mara wa wizi wa mifugo na ulipizaji kisasi na kuchangia umwagikaji





