Back to home

Rais apokea ambulansi na vifaa vya afya vya shilingi 350m

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 19, 2025
2h ago
Shirika la afya duniani (WHO) limemkabidhi Rais William Ruto msaada wake wa ambulensi 14 za kisasa pamoja na dawa zenye thamani ya jumla ya shilingi milioni 350 ili kuboresha huduma za afya