Back to home

Madereva wa masafa marefu kwenye barabara kuu ya Kisumu kwenda Busia walalamikia utovu wa usalama

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 20, 2025
5h ago
Madereva wa masafa marefu wanaotumia barabara kuu ya Kisumu kwenda Busia na ile ya Eldoret kuelekea Malaba wanalalamikia kudorora kwa usalama katika barabara hizo, visa vya wizi vikikithiri wanaposubiri katika foleni kuvusha shehena zao mpakani. Wakizungumza kwenye foleni ya maga