Back to home
Timu ya Kenya ya Deaflympics yaomba maandalizi bora baada ya kupoteza mechi zote Tokyo
video
C
Citizen TV (Youtube)November 20, 2025
2w ago
Timu ya mpira wa vikapu ya wasio na uwezo wa kusikia imetoa wito wa kuwa na maandalizi ya kutosha kabla ya michezo ijayo ya deaf-lympics. Kenya ilikuwa na wakati mgumu kwenye mashindano hayo huko Tokyo Japan, ikipoteza mechi zote tatu kwa tofauti kubwa ya pointi
Advertisement
Advertisement



