Back to home

Muungano wa wake wa magavana wazindua mpango wa miaka 4 unaolenga kuboresha afya na elimu

video
N
NTV Kenya (Youtube)
November 21, 2025
5h ago
Muungano wa wake wa magavana (CFLA) umezindua mpango wa miaka minne unaolenga kuboresha afya, elimu, usawa wa kijinsia, uchumi na udhabiti dhidi ya mabadiliko ya tabianchi katika kaunti 47. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by K