Back to home
Kindiki azua kampeni Mbeere Kaskazini, ashutumu Gachagua kwa kupotosha wananchi
video
C
Citizen TV (Youtube)November 21, 2025
1h ago
Naibu rais Kithure Kindiki ameendeleza kampeni za uchaguzi mdogo wa Mbeere kaskazini huku akimshutumu kinara wa DCP Rigathi Gachagua kwa kile ametaja kama kuwapotosha wenyeji wa Mbeere na kaunti za mlima Kenya. Kindiki alizuru maeneo ya Ngunyumu na Magacha kumpigia debe mwaniaji


